
WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DKT.DAMAS NDUMBARONA OKULY JULIUS ,DODOMAWAZIRI wa Katiba na Sheria Dkt.Damas Ndumbaro ,amewataka viongozi wa taasisi za utoaji haki kushirikiana katika kuondoa vikwazo vinavyokwamisha utekelezaji thabiti wa Sheria ya watoa Taarifa na Ulinzi...