Na Joyce Kasiki,DodomaSPIKA wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ameshiriki mbio za Bunge (Bunge Marathon) ambazo lengo lake ni kuchangia ujenzi wa shule ya Sekondari ya Bunge ya wavulana.Akizungumza katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ,Dkt.Tulia...
Na Joyce Kasiki,DodomaNAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga ameeleza mafanikio ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta ya Nishati inayojengwa chini ya Serikali ya awamu sita chini ya uongozi wa Rais Dkt.Samia suluhu Hassan.Kapinga ameyasema hayo wakati akizungumza...
Na Joyce Kasiki,DodomaWAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt .Stargomena Tax amesema suala la amani na utulivu vilivyopo nchini ni moja ya mafanikio ya kazi iliyofanywa na Wizara yake kupitia sekta ya ulinzi katika kipindi cha miaka 60 ya Muungano na...