DktJafo aeleza mafanikio makubwa kiuchumi kupitia sekta ya viwanda

 Na Mwandishi wetu,DodomaWAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amewasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2025/2026 mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambapo ametaja mafanikio makubwa na mikakati kabambe inayolenga kukuza...
Share:

Kapinga amtilia shaka MF Contractor

Na Joyce Kasiki,DODOMANAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amemuelekeza Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kukutana na Mkandarasi MF anayetekeleza mradi wa umeme katika vijiji 15 vya Wilaya ya Nyasa, ili kuangalia uwezekano wa kuteua wakandarasi wadogo (sub-contractors)...
Share:

Serikali yaombwa kupeleka maji Tukuyu Kutoka Ziwa Nyasa

DODOMAMBUNGE wa Viti Maalum Sophia Mwakagenda ameiomba Serikali kupeleka maji Mji wa Tukuyu Kutoka Ziwa Nyasa Ili kusaidia wananchi wa wilaya hiyo kupata maji safi na salama.Akiuliza swali la nyongeza Bungeni jijini Dodoma Mwakagenda amesema  Mji wa Tukuyu hauna maji huku...
Share:

Sekiboko ahoji mkakati wa Serikali kuboresha soko la machungwa Tanga

MBUNGE wa Viti Maalum Husna Sekiboko amehoji hatua zinazochukukiwa na Serikali Ili kulinda Kilimo Cha matunda kwa lengo lai kuokoa soko la matunda linalosuasua kutokana na uingizaji mkubwa wa matunda nchini.Akiuliza swali Bungeni Sekiboko pia amesema "Mkoa wa Tanga ni maarufu...
Share:

Tanzania ilivyojidhatiti maonesho ya Expo 2025 Osaka,Japan

Na Joyce Kasiki,DODOMAWAZIRI  wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jaffo, amesema kuwa Tanzania imejipanga kushiriki kikamilifu katika Maonesho ya Dunia ya EXPO 2025 yatakayofanyika mjini Osaka, Japan kuanzia Aprili 12 hadi Oktoba 13, 2025 kwa lengo la kutangaza fursa...
Share:

Rais Samia aitaka Mahakama kutenda haki bila kuangalia hali ya mtu

Na Mwandishi wetu, DODOMA RAIS Dkt.Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa Mahakama kuhakikisha kasi ya utoaji haki kwa wananchi inaendana na ubora wa jengo jipya  la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania ambalo limejengwa kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa...
Share:

Wizara ya Habari Ndiyo Roho ya Nchi - Mhe. Abdulla

Na Adelina Johnbosco - MAELEZOMakamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amesema Wizara ya Habari  ni muhimu sana katika nchi kutokana na majukumu yake ya uhabarishaji wa masuala mbalimbali katika kila nyanja ndani na nje ya Tanzania. Amesema...
Share:

Maafisa Habari, Kikao Kazi Hiki ni cha Mafundo na Mazingativu - Msigwa

Na Adelina Johnbosco - MAELEZOKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Msigwa, amewataka Maafisa Habari wa Serikali kutambua kwamba, ujio wao Zanzibar katika Kikao Kazi ni kwa ajili ya kufundwa na kuzingatia...
Share:

Wahitimu kidato cha nne waaswa kubadilisha Tahasusi kabla ya muhula wa masomo 2025 kuanza

Na Mwandishi Wetu,DodomaWAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa,amewataka wahitimu wa kidato Cha nne  kwa mwaka 2024 ,kufanya mabadiliko ya tahasusi (combination) kulingana na ufaulu wao utakaowawezesha kuoangiwa...
Share:

Nderiananga aongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa tatu wa Kimataifa wa watu wenye ulemavu Ujerumani

NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANINaibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu Mheshimiwa Ummy Nderiananga ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaoshiriki Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu wenye Ulemavu unaofanyika jijini Berlin, Ujerumani...
Share:

UWT yalaani Mwenezi BAWACHA kushambuliwa

Na Joyce Kasiki,DodomaUMOJA  wa Wanawake wa  Chama cha Mapinduzi Taifa (UWT), umelaani shambulio la kudhuru mwili alilofanyiwa Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA), Sigilaga Mligo, ambalo limesababisha maumivu makali hadi kupelekea kulazwa hospitalini...
Share:

SOS Children's Village yakabidhi Mwongozo wa Taifa wa Uanzishaji, Uendeshaji na Usimamizi wa makao ya watoto

Na WMJJWM- Dodoma KATIBU  Mkuu wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu amepokea ugeni kutoka  Shirika la Watoto la SOS Children's Village  ambapo ugeni huo ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo  Aisha Salim...
Share:

RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA

 Na WMJJWM- Dodoma  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewafuturisha Watoto wanaolelewa katika Makao ya Taifa ya Watoto Kikombo Dodoma katika Kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Akizungumza wakati wa Iftari hiyo...
Share:

TANESCO kuifanya SGR kuwa mkoa wa KI-TANESCO

NA MWANDISHI WETU,DODOMAURUGENZI Mkuu wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amesema Shirika hilo lipo mbioni kuanzisha mkoa wa ki-TANESCO wa njia ya treni ya umeme (SGR)  ambao utakuwa na kazi moja tu ya kushughulikia njia ya treni hiyo ili kuondoa...
Share:

JK AWASILISHA UJUMBE MAALUMU KWA RAIS WA SENEGAL KUTOKA KWA RAIS SAMIA

Na Mwandishi wetuRAIS Mstaafu  Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha  ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Senegal, Mhe. Bassirou Diomaye Faye jijini Dakar.Katika mazungumzo ...
Share:

Wizara ya Nishati yataja vipaumbele vya bajeti yake mwaka wa fedha 2025/2026

*📌 Rukwa, Kagera, Lindi. Mtwara kuunganishwa na gridi ya Taifa.**📌 Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kuendelea kuhamasishwa**📌 Serikali kuendelea kuimarisha utendaji wa Taasisi, Mashirika  chini ya Wizara ya Nishati,*Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt....
Share:

TBS lateketwza bidhaa zisizokidhi viwango za sh.bilioni 1.5

Joyce Kasiki,DodomaSHIRIKA  la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza bidhaa mbalimbali zisizokidhi viwango ya ubora  vyenye thamani ya Shilingi bilioni 1.5 kati ya Julai na Disemba 2024, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kulinda afya na usalama wa watumiaji pamoja na kuzuia...
Share:

TANZANIA, BARBADOS KUIMARISHA USHIRIKIANO

📌 Dkt. Biteko afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Barbados📌 Wakubaliana kuwekeza katika Ushirikiano Sekta ya Utalii na Maji 📌 Nishati Safi ya Kupikia, M300 kivutio cha mazungumzo Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa NishatiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,...
Share:

NAIBU WAZIRI MWANAIDI APONGEZA KAMATI YA MTAKUWWA KARATU

Na WMJJWM - Karatu- ArushaNaibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwananidi Ali Khamis, ameridhishwa na Maendeleo ya utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kwanza wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (2017/18 – 2021/22)Amesema hayo...
Share:

WAZIRI SILAA ASHIRIKI KUPANDISHA VIFAA UJENZI WA MNARA WA MAWASILIANO

Na Mwandishi Wetu, WMTH Morogoro Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb), leo Machi 14, 2025, ameshiriki zoezi la kupandisha vifaa vya ujenzi wa Mnara wa Mawasiliano katika kijiji cha Idete, Kata ya Chanzuru, Kilosa, Mkoani Morogoro.Mnara...
Share:

Waziri Silaa ataka minara yote 758 iwashwe ifikapo Mei 12 mwaka huu

Na Mwandishi WetuWAZIRI  wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa (Mb), ameelekeza kuwa ifikapo tarehe 12 Mei 2025, saa 6 usiku,  ujenzi wa minara ya mawasiliano vijijini uwe umekamilika na minara yote 758 iwe imewashwa, ili wananchi waweze kupata huduma...
Share:

DKT. BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA CLIMATE INVESTMENT FUNDS

Na Mwandishi WetuNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Climate Investment Funds (CIF) Bi. Tariye Gbadegesin Mjini Bridgetown, Barbados.Mazungumzo hayo yamefanyika leo Machi 14, 2025 kando...
Share:

Wanaofoji vyeti vya JKT waonywa

Na Joyce Kasiki,DodomaJESHI la Kujenga Taifa limetoa onyo kwa wananchi wanaoghushi vyeti vya Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa ajili ya kujitafutia  ajira huku likisema kwa waliobanika na watakaobainika kufanya hivyo kwa matumizi yoyote  watachukuliwa hatua kali...
Share:

Wananchi wa Ngombo  watakiwa  wajitokeze kuchukua fidia zao

📍 TAWA yaagizwa kurejesha Hifadhi ya Kilombero katika uasili wakeNa Mwandishi wetu - Malinyi.Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Wakili Sebastian Waryuba amewataka wananchi waliohama kwa hiyari kutoka katika Kijiji cha Ngombo ambacho awali  kilikuwa ndani ya Pori la Akiba Kilombero...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Blog Archive

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.