
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Jacobs Mwambejele akiwakabidhi mkoba wenye fomu za kuwania kiti cha urais wagombea kutoka chama cha sauti ya Umma ( SAU).Majalio Paul Kyara (mgombea kiti cha Rsis) na Mhe. Satia
Mussa Bebwa (kushoto) Kiti cha Makamu wa Rais

Wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Mhe.
Majalio Paul Kyara na Mhe. Satia
Mussa Bebwa (kushoto) wakionesha mkoba wa fomu za uteuzi waliokabidhiwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi leo Agosti 13, 2025







No comments:
Post a Comment