
NA MWANDISHI WETU, DODOMACHUO cha Serikali za Mitaa (LGTI),Hombolo-Dodoma kimewataka wazazi wenye watoto wanaomaliza kidato cha nne kutowakatisha tamaa wanapohitimu na kupata alama zisizoruhusu kuendelea kidato cha tano badala yake wawapeleke chuoni hapo kujiunga na kozi zinazoendana...