e-GA kujenga Serikali ya kidigiti katika kipindi cha miaka 10 ijayo

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA), Mhandisi Benedct Ndomba akizungumzia kuhusu utekelezaji wa shughuli za Taasisi hiyo jijini Dodoma.NA JOYCE KASIKI,DODOMAMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba amesema Mamlaka hiyo itaendelea...
Share:

Vitabu 16 vyenye maudhui yenye upotoshaji watoto vyapigwa marufuku,Serikali yatoa onyo kwa shule zitakazobainika kuvitumia

NA JOYCE KASIKI,DODOMASERIKALI imepiga marufuku vitabu 16 kutumika mashuleni kutokana na vitabu hivyo kukinzana na mila , desturi na tamaduni za kitanzania . Aidha imesema,kwa shule ambayo itabainika kuendelea kutumia vitabu hivyo mara baada ya katazo la Serikali itachukuliwa...
Share:

Jitihada zifanyike kuhamasisha wanawake na wasichana kujiunga na masomo ya sayansi

NAIBU WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA OMARY KIPANGA AKIZUNGUMZA WAKATI WA MAADHIMISH0 YA KIMATAIFA YA WASICHANA NA WANAWAKE NA JOYCE KASIKI,DODOMANAIBU waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia amewataka wazazi na jamii kwa ujumla kuweka jitihada za kuwahamsisha wasichana na...
Share:

Waandishi wa habari za mtandaoni wahimzwa kuzingatia maadili ya taaluma ya uandishi wa habari

MSEMAJI MKUU WA SERIKALI GERSON MSIGWA NA JOYCE KASIKI,DODOMA   MSEMAJI Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa maezindua Taasisi ya wanahabari wanaoandika habari za mtandaoni (TOMA) huku akilitaka kundi hilo kuandika kwa kuzingatia weledi na maadili yote ya taaluma hiyo lakini...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.