SWICA  YAIINGIZIA SERIKALI DOLA ZA MAREKANI  2,773,000

Na. Beatus Maganja, Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Jasmin Kairuki (Mb) amesema katika kuongeza mapato yatokanayo na shughuli za utalii, Wizara yake imefanikiwa kuanza utekelezaji wa Uwekezaji Mahiri kwenye Maeneo ya Wanyamapori (Special Wildlife...
Share:

Mashirika ya Ndege ya Kimataifa kutangaza vivutio vya utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki akisoma makadirio ya mapato na matumizi Bungeni jijini DodomaNa Joyce Kasiki,DodomaWAZIRI wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki amesema,mashirika ya ndege ya Kimataifa ya Qatar Airways, Emirates na Turkish Airlines yanaenda ...
Share:

TAFORI yafanya Tafiti 5 kuongeza tija katika viwanda vya mazao ya misitu Nchini

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah KairukiNa Joyce Kasiki,DodomaSERIKALI imesema,Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI)   imefanya jumla ya tafiti 17 zikiwemo tafiti tano za kimkakati ambapo Tafiti  zilizofanyika ni pamoja na tathmini ya rasilimali...
Share:

Naibu Waziri azitaka taasisi za Umma kuzingatia sheria,kutumia NeSt

Na Mwandishi WetuNaibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande, amewataka maafisa ununuzi wa taasisi za Serikali kuhakikisha wanatumia Mfumo wa Usimamizi wa Ununuzi wa Umma Kielektroniki (NeST) pekee kufanya ununuzi wa umma na kuhakikisha wanauelewa kuhusu moduli ya kuwasilisha malalamiko...
Share:

Ujenzi Mji wa Serikali Mtumba kukamilika 2025

       Na Mwandishi wetu- Dodoma Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wamehamia Makao Makuu ya Nchi Jijini Dodoma pamoja na  Taasisi  65 ambapo inaendelea na  mpango kazi wa  ujenzi wa Awamu ya Pili wa majengo ya Ofisi...
Share:

Wafanyakazi wa Takwimu Bara,Zanzibar wakutana

           Na Joyce Kasiki,DodomaNAIBU Waziri wa Fedha,Hamad Hassan Chande amewataka wafanyakazi wa Ofisi za Taifa za Takwimu  Bara na Zanzibar kufanya kazi kwa weledi,bidii na maarifa.Aidha amewataka vijana na watumishi wote wa ofisi hizo...
Share:

Wizara ya afya yaja na vipaumbele 10 utekelezaji wa bajeti 2024/2025

Na Joyce Kasiki,DodomaWAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amesema wizara hiyo imejiwekea vipaumbele 10 inavyotarajia kuvitekeleza  katika mwaka wa fedha wa 2024/2025 kwa lengo la kuboresha huduma za afya nchini.Hayo yameelezwa leo Mei 13 ,2024 Bungeni Jijini Dodoma na Waziri wa...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.