
Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki akisoma makadirio ya mapato na matumizi Bungeni jijini DodomaNa Joyce Kasiki,DodomaWAZIRI wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki amesema,mashirika ya ndege ya Kimataifa ya Qatar Airways, Emirates na Turkish Airlines yanaenda ...