
NA JUDITH FERDINAND,MWANZA
Serikali na wadau mbalimbali nchini wameombwa
kuhakikisha taulo za kike zinapatikana kwa urahisi, miundombinu ya kujihifadhia
inakuwepo pamoja na maji safi na salama ili kuwafanya watoto wa kike kuwa na
hedhi salama hususan wawapo shuleni.
Akizungumza...