Jafo aweka hadharani mafanikio ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

  Na  Joyce Kasiki ,DodomaWAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais ,Muungano na Mazingira Dkt.Selemani Jafo ameeelezea mafanikio lukuki ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania huku akisema mafanikio hayo yamejidhihirisha katika awamu zote za uongozi.Aidha...
Share:

PPRA yafungua ofisi za Kanda kusogeza huduma kwa wananchi

Na Mwandishi wetuMAMLAKA  ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imefungua Ofisi katika kanda tano nchini na kuwa na jumla ya kanda sita, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kusogeza huduma kwa wananchi na kuongeza ufanisi katika kusimamia sekta ya ununuzi wa umma. Hayo...
Share:

Rais Samia afanya ujenzi na uhamisho wa viongozi

Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan&nb...
Share:

Mama aliyeua watoto wake wawili  kwa kuwanywesha  sumu  afariki

NA MWANDISHI WETU,MBEYAMAMA mzazi wa watoto wawili walionyweshwa sumu  aitwaye Daines Mwashambo ((30)mkazi wa Kijiji cha Mashese kata ya Ilungu wilaya ya Mbeya aliyekuwa anaendelea na matibabu katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya amefariki dunia wakati akiendelea...
Share:

Dkt.Mpango aridhishwa usambazaji gesi asilia

                NA JOYCE KASIKI,DODOMA MAKAMU wa Rais Dkt.Philip Mpango ameoneshwa kuridhishwa na kazi inayofanywa na Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) ya kuwaunganishia wananchi gesi asilia kutoka kwenye bomba kuu. Akizungumza...
Share:

Rais Dkt.Samia aamsha shangwe ya wanawake,azungumza nao kwa njia ya simu

         NA JOYCE KASIKI,DODOMARAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameamsha shangwe ya wanawake katika ukumbi wa jakaya Kiwete jijini Dodoma baada ya kuzungumza nao kwa njia ya simu huku akiwaahidi kutumia nafasi yake ya...
Share:

Halmashauri ya Hanang ,SUMAJKT watiliana saini ujenzi wa nyumba za waathirika wa maporomoko ya udongo

      Na Mwandishi wetu ,Manyara HALMASHAURI ya Hanang’ imetiliana saini na Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 108 za waathirika wa maporomoko ya udongo yaliyotokea hivi karibuni Katesh katika wilaya...
Share:

Hospitali za Rufaa za Mikoa kuwahudumia wananchi bila kuchoka

Dkt.Ernest Ibenzi akizungumza na waandishi wa habariNa Joyce Kasiki DodomaMGANGA Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Waganga wafawidhi hospitali za Rufaa za Mikoa 28  Tanzania Bara Dkt.Ernest Ibenzi amesema ,licha ya hospitali kususia...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.