
Na Joyce Kasiki ,DodomaWAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais ,Muungano na Mazingira Dkt.Selemani Jafo ameeelezea mafanikio lukuki ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku akisema mafanikio hayo yamejidhihirisha katika awamu zote za uongozi.Aidha...