RAIS SAMIA ATOA MAELEKEZO KWA JESHI LA POLISI


Published from Blogger Prime Android App


Na Joyce Kasiki,DODOMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amelitaka  Jeshi la PolisiNchini kkuongeza nguvu katika kukomesha matukio ya watu kupotea nchini.

Rais Dkt.Samia ameyasema hayo Bungeni Jijini Dodoma , Leo Juni 27,2025 wakati akihitimisha rasmi Bunge la 12 

Amesema kuwa pamoja na mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano ya Bunge hilo, bado yapo mambo yanayohitaji kushughulikiwa kwa dharura, likiwemo suala la usalama wa raia, hasa katika matukio ya watu kutoweka bila maelezo.

"Jeshi la Polisi lina wajibu wa kuhakikisha usalama wa wananchi, na mojawapo ya vipaumbele vyake sasa ni kuhakikisha kuwa matukio ya watu kupotea yanakomeshwa kabisa,” alisisitiza Rais Dkt. Samia
Share:

No comments:

Post a Comment

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Recent Posts

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.