Mavunde aonya utoroshaji wa Madini

    Na Joyce Kasiki,Dodoma WAZIRI wa Madini Anthony mavunde wamewaonya  wadau wa madini kutojihusisha na utoroshaji wa madini nchini huku akisema kuwa, atakayebainika atachukuliwa hatua Kali  za kisheria ikiwemo kufutiwa leseni katika maeneo yote ambayo muhusika...
Share:

Rais Dkt. Samia apokea taarifa ya utekelezaji wa REA III Mzunguko wa Pili nchi nzima

Na Mwandishi WetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika maeneo yote nchini.Dkt. Samia amepokea taarifa hiyo wakati akizungumza na wananchi...
Share:

Siku ya Mwanamke anayeishi kijijini yaleta neema Olivolos

                Na Mwandishi Wetu.       Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Dr Dorothy Gwajima amewaagiza maafisa maendeleo nchini kuongeza kasi ya kufikia makundi yote ya wanawake...
Share:

Prof.Mkenda akutana na wamiliki wa shule zisizo za serikali

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda akizungumza na wamiliki wa shule nchini Na Joyce Kasiki,DodomaWIZARA ya Elimu ,Sayansi na Teknolojia imekutana na wamiliki wa shule nchini kwa lengo la kujua namna wanavyofanya kazi lakini pia kufahami changamoto zinazoikabili.Akizungumza...
Share:

Watoto 2800 wafikiwa na mradi jumuishi

Normal 0 false false false EN-GB X-NONE X-NONE ...
Share:

Franone Mining, Madini ya Tanzanite ilivyonogesha Maonyesho ya Madini Geita

 WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde akizungumza na waandishi wa habari katika banda la Franone Mining kwenye maonesho ya Madini mjini GeitaBaadhi ya wanafunzi wakiangalia madini ya Tanzanite kwenye Banda la Franone Mining kwenye maonesho ya Madini mjini GeitaMBUNGE wa Geita...
Share:

Mgodi wa Franone ulivyotengeneza ajira kwa watanzania

 Meneja Mkuu wa Mgodi wa Kampuni ya Franone MiningVitus Ndakize   Na Mary Margwe, GeitaMeneja Mkuu wa Mgodi wa Kampuni ya Franone MiningVitus Ndakize  amesema kuwa kampuni hiyo iliyoanza tangu mwaka 2011 imekuwa na rekodi ya kutoka katika uchimbaji mdogo...
Share:

RM Kyando iivyodhamira kuwainua wachimbaji wadogo

 Vifaa mbalimbali vya uchimbaji wa madini kutoka kampuni  ya RM yando             Na Joyce Kasiki,Geita MKUU wa Idara ya Mosoko kutoka Kampuni ya RM Kyando  Edgael Chifupa amesema Kampuni imedhamiria...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.