
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda akizungumza na wamiliki wa shule nchini Na Joyce Kasiki,DodomaWIZARA ya Elimu ,Sayansi na Teknolojia imekutana na wamiliki wa shule nchini kwa lengo la kujua namna wanavyofanya kazi lakini pia kufahami changamoto zinazoikabili.Akizungumza...