
Na Adelina Johnbosco - MAELEZOKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Msigwa, amewataka Maafisa Habari wa Serikali kutambua kwamba, ujio wao Zanzibar katika Kikao Kazi ni kwa ajili ya kufundwa na kuzingatia...