Kapinga amtilia shaka MF Contractor

Na Joyce Kasiki,DODOMANAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amemuelekeza Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kukutana na Mkandarasi MF anayetekeleza mradi wa umeme katika vijiji 15 vya Wilaya ya Nyasa, ili kuangalia uwezekano wa kuteua wakandarasi wadogo (sub-contractors)...
Share:

Serikali yaombwa kupeleka maji Tukuyu Kutoka Ziwa Nyasa

DODOMAMBUNGE wa Viti Maalum Sophia Mwakagenda ameiomba Serikali kupeleka maji Mji wa Tukuyu Kutoka Ziwa Nyasa Ili kusaidia wananchi wa wilaya hiyo kupata maji safi na salama.Akiuliza swali la nyongeza Bungeni jijini Dodoma Mwakagenda amesema  Mji wa Tukuyu hauna maji huku...
Share:

Sekiboko ahoji mkakati wa Serikali kuboresha soko la machungwa Tanga

MBUNGE wa Viti Maalum Husna Sekiboko amehoji hatua zinazochukukiwa na Serikali Ili kulinda Kilimo Cha matunda kwa lengo lai kuokoa soko la matunda linalosuasua kutokana na uingizaji mkubwa wa matunda nchini.Akiuliza swali Bungeni Sekiboko pia amesema "Mkoa wa Tanga ni maarufu...
Share:

Tanzania ilivyojidhatiti maonesho ya Expo 2025 Osaka,Japan

Na Joyce Kasiki,DODOMAWAZIRI  wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jaffo, amesema kuwa Tanzania imejipanga kushiriki kikamilifu katika Maonesho ya Dunia ya EXPO 2025 yatakayofanyika mjini Osaka, Japan kuanzia Aprili 12 hadi Oktoba 13, 2025 kwa lengo la kutangaza fursa...
Share:

Rais Samia aitaka Mahakama kutenda haki bila kuangalia hali ya mtu

Na Mwandishi wetu, DODOMA RAIS Dkt.Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa Mahakama kuhakikisha kasi ya utoaji haki kwa wananchi inaendana na ubora wa jengo jipya  la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania ambalo limejengwa kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa...
Share:

Wizara ya Habari Ndiyo Roho ya Nchi - Mhe. Abdulla

Na Adelina Johnbosco - MAELEZOMakamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amesema Wizara ya Habari  ni muhimu sana katika nchi kutokana na majukumu yake ya uhabarishaji wa masuala mbalimbali katika kila nyanja ndani na nje ya Tanzania. Amesema...
Share:

Maafisa Habari, Kikao Kazi Hiki ni cha Mafundo na Mazingativu - Msigwa

Na Adelina Johnbosco - MAELEZOKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Msigwa, amewataka Maafisa Habari wa Serikali kutambua kwamba, ujio wao Zanzibar katika Kikao Kazi ni kwa ajili ya kufundwa na kuzingatia...
Share:

Wahitimu kidato cha nne waaswa kubadilisha Tahasusi kabla ya muhula wa masomo 2025 kuanza

Na Mwandishi Wetu,DodomaWAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa,amewataka wahitimu wa kidato Cha nne  kwa mwaka 2024 ,kufanya mabadiliko ya tahasusi (combination) kulingana na ufaulu wao utakaowawezesha kuoangiwa...
Share:

Nderiananga aongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa tatu wa Kimataifa wa watu wenye ulemavu Ujerumani

NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANINaibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu Mheshimiwa Ummy Nderiananga ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaoshiriki Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu wenye Ulemavu unaofanyika jijini Berlin, Ujerumani...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.