
Na Mwandishi Wetu,e-GA
Vyombo vya Watumia Maji vya jamii (CBWSOs) vinavyosimamiwa na Wakala ya
Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), vimetakiwa kutumia Mfumo wa
pamoja wa Ankara za Maji (MAJIIS), ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi
pamoja na kuimarisha utoaji...