WAZIRI WA NISHATI JANUARY MAKAMBANA JOYCE KASIKI,DODOMA
SERIKALI imesema katika mwaka
ujao wa fedha inatarajia kuingiza umeme wa Bwawa la Julius Nyerere kwenye Gridi
ya Taifa huku ikisema hilo ni tukio la kihistoria hapa nchini.
Aidha imesema,katika...
MBUNGE WA USHETU EMMANUEL CHEREHANI NA JOYCE
KASIKI,DODOMA
MBUNGEwa
Ushetu Emmanuel Cherehani (CCM) ameiomba Serikali kuingilia kati kumaliza
mgogoro wa mipaka uliopo baina ya Pori la Ubagwe lililopo katika Jimbo la
Ushetu mkoani Shinyanga na Halmashauri ya wilaya ya Kaliua...
MBUNGE WA VITI MAALUM OLIVER SEMGULUKA NA JOYCE KASIKI,DODOMA
NAIBU Waziri
wa Kilimo Anthony Mavunde amesema katika mwaka wa fedha wa 2023/2024 Serikali
inatarajia...
MBUNGE WA ITILIMA SILANGA NJALU (CCM) NA JOYCE KASIKI,DODOMA
MBUNGE wa Jimbo la Itilima Silanga Njalu (CCM) ameihoji Serikali kwamba ni lini itajenga madaraja matano katika Mito Galamoha , Isolo,
Nyagokolwa,...
MBUNGE WA VITI MAALUM MHANDISI STELLA MANYANYA NA JOYCE
KASIKI,DODOMA
NAIBU
Waziri,Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Deogratius Ndejembi amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kufika kwenye kata ya
Litui ili kufanya...
Naibu Waziri
wa Katiba na Sheria Pauline Gekul akisikiliza kesi ya mahabusu Mwajuma Mada
aliyefika gerezani Babati mjini ikiwa ni sehemu ya msaada unaotolewa na timu ya
wataalam wa Mama Samia Legal Aid CampaignTimu ya wataalamu na uongozi wa
gereza wakiwa katika...
MKUU wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena
NA JOYCE KASIKI,DODOMA
JESHI la
Kujenga Taifa (JKT) limewataka vijana
wote waliohitimu elimu ya kidato cha sita kwa...
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT.GODWIN MOLLEL NA WAF- BUNGENI DODOMA
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameweka wazi kuwa, Serikali
imepanga kuchukua hatua kali kwa wote wataobainika kwenye upotevu wa dawa...
PICHAI ni mitambo ya kualiha zge iliyozinduliwa jijini Dodoma na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele akizungumza jijini Dodoma kwenye hafla ya uzinduzi wa magari na...
WAZIRI wa Ujeniz na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa Mnyaa akiwasilisha bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024 Bungeni jijini Dodoma NA JOYCE KASIKI,DODOMA
SERIKALI imebainisha mikakati yake ya kuhakikisha
Shirika...