TANZANIA YAPIGIWA MFANO, KUKABILI MAAFA, MATUMIZI SAFI YA NISHATI YA KUPIKIA YATAJWA

NA. MWANDISHI WETU- WINDHOEKSerikali ya Tanzania imeendelea kuonesha umahiri wake katika masuala ya menejimenti ya maafa nchini kwa kuzingatia mifumo sahihi ya kukabiliana na maafa na matumizi ya teknolojia ya kisasa pamoja na miongozo, kanuni na sheria mbalimbali zinazoongoza...
Share:

TANZANIA YARIDHISHWA NA USHIRIKIANO ULIOPO NA NCHI YA NAMIBIA 

  NA. MWANDISHI WETU – WINDHOEK NAMIBIATanzania itaendelea kuimarisha misingi ya uhusiano wa diplomasia baina yake na nchi ya Namibia katika kuimarisha mahusiano yaliyopo katika nyanja mbalimbali huku mchango wa Tanzania katika uhuru wa Namibia ukitajwa.Hayo yamesemwa na...
Share:

𝗡𝗔𝗜𝗕𝗨 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗔𝗜𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗲-𝗚𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗠𝗔𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗜𝗥𝗜𝗞𝗜𝗔𝗡𝗢 𝗡𝗔 𝗦𝗘𝗞𝗧𝗔 𝗕𝗜𝗡𝗔𝗙𝗦𝗜

Na Mwandishi wetu ,eGANAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Deus Sangu  ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi, ili kuongeza wigo wa ajira kwa vijana wabunifu kwenye eneo la TEHAMA. Sangu...
Share:

Wakulima sasa kutambuliwa kibiashara

      Na Joyce Kasiki,DODOMAWAKALA  wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umejipanga kuanza kuwasajili Wakulima kwa kuwapa nembo ambayo itawatambulisha kibiashara.Afisa Usajili wa BRELA Gabriel Giranangay ameyasema hayo  katika  maonesho ya Wakulima...
Share:

Watakaofanya ununuzi nje ya Mfumo wa NeST kufungwa jela

Na Mwandishi WetuWATUMISHI wa Serikali watakaofanya ununuzi wa Umma nje ya Mfumo wa NeST watakuwa wamefanya kosa la jinai, na kukabiliwa na adhabu ya kifungo jela pamoja na kulipa faini, kwa mujibu wa Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2023.Akizungumza kwenye kipindi maalum...
Share:

Kanda ya Kati wakiwa na kampeni ya Sako kwa Bako

Na Joyce Kasiki,DodomaAfisa Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya Mtandao wa Tigo Tanzania Isaac Nchunda amesema kampuni hiyo ni moja ya mitandao inayokua kwa kasi na hivyo kurahisisha maisha ya watanzania .Akizungumza katukanofusi za Tigo jijini Dodoma na waandishi wa habari leo Agosti...
Share:

Mkongo wa Taifa unavyorahisisha mawasiliano nchi nzima

Mkurugenzi wa T-Pesa Lulu Mkudde akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  kwenye maoneaho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar Es Salaam .Na Joyce Kasiki Dar Es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano nchini (TTCL) limesema ,hadi sasa limesambaza mkongo wa Taifa...
Share:

Utafiti:Zaidi ya nusu ya eneo la Tanzania lina viashiria vya mafuta

Mkuruhenzi wa PURA Mhandisi Charles Na Joyce Kasiki ,Dar Es Salaam MKURUGENZI Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Mhandisi Charles Sangweni amesema,Tanzania ina viashiria vya kuwepo mafuta katika wneo la ukubwa wa skweakilomita 534,000.Akizungumza...
Share:

Ushirikishwaji usomaji ankara za maji unavyoondoa migogoro

MENEJA Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka ya Idhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) Titus KaguoNa Joyce Kasiki MENEJA Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka ya Idhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) Titus Kaguo amesisitiza Ankara zote za maji kusomwa wakati mwenye Dira yupo ili kuondoa...
Share:

CBE sasa kutoa 'Masters' kwa njia ya mtandao

Matukio katika picha yakionesha Mkuu wa Chuo cha CBE alipotembelea banda la chuo hicho kwenye maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba)  jijini Dar Es SalaamNa Joyce Kasiki Dar Es SalaamMKUU wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Profesa Tandi Luoga amesema chuo hicho...
Share:

PURA na mkakati wake wa kutafuta wawekezaji

Ns Joyce Kasiki Dsr Es SalaamMwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Khalfan Khalfan amesema  PURA itahakikisha inaongeza wawekezaji kwenye sekta ya utafutaji wa mafuta ili kuongeza tija katika eneo hilo.Akizungumza na waandishi...
Share:

Ubunifu uchoraji picha Rais Samia washangaza wananchi maaonesho sabasaba

Na Joyce Kasiki,DarPICHA moja  ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan iliyochorwa na mwanafunzi wa chuo Kikuu cha Dodoma inayomuelezea Dkt.Samia Suluhu Hassan akiwa  katika majukumu yake matatu makubwa ya Kitaifa imekuwa kivutio kikubwa kwa wananchi wengi wanaotembelea maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijini Dar Es Salaam.Akizungumza...
Share:

Serikali kuongeza vituo 8 vya kujaza gesi kwenye magari

Na Joyce Kasiki,Dar Es Salaam SERIKALI imesema hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu itakuwa imejenga  vituo vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)  maeneo ya Muhimbili, Kibaha, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Sinza, Mwenge, Goba, Mbezi Beach na Mbagala .Hayo yamesemwa...
Share:

KAMATI YA GEF YATINGA DODOMA YAHIMZA  KIZAZI CHENYE USAWA DIRA YA TAIFA 2050

Na WMJJWM-DodomaKamati ya Kitaifa ya Ushauri kuhusu utekelezaji wa Programu ya Kizazi chenye Usawa, imeshauri agenda ya Kizazi chenye Usawa kujumiishwa katika Dira ya Taifa ya 2050 ili utekelezaji wake uwe katika mifumo ya utendaji wa Serikali.Hayo yamebainika wakati wa ziara...
Share:

TMDA yatoa elimu usugu vimelea vya dawa

Na Joyce Kaaiki,Dar es Salaam USUGU wa vimelea  vya Dawa umekuwa ukiongezeka siku hadi siku kutokana na matumizi ya dawa yasiyo sahihi kwa baadhi ya watumiaji.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Adam Fimbo amesema hayo wakati akizungumza na waandishi...
Share:

Mhandisi Mramba aipa tano EWURA

Na Joyce Kasiki,Dar Es SalaamKATIBU Mkuu Wizara ya Nishati Felichesmi Mramba ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji kwa huduma inayofanya ya udhibiti huku akisema imesaidia kupunguza hata changamoto ya kukatikakatika kwa umeme.Mramba ameyasema hayo leo Julai 9,2024...
Share:

Mhandisi Mramba aipa tano EWURA

Na Joyce Kasiki,Dar Es Salaam KATIBU Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), kwenye maeneo ya gesi asilia ambapo amesaidia  na anaendelea kufuatilia  kutoa leseni kwa wale wanaojenga...
Share:

Kikwete ashauri kushushwa bei za gesi umeme kiwezesha matumizi Nishati mbadala

RAIS Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete  alipotembelea banda la TANESCO katika maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es SalaamNa Joyce Kasiki,Dar es Salaam RAIS Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete amesema vita dhidi ya nishati safi ya kupikia nchini itafanikiwa endapo...
Share:

Mkurugenzi Mkuu VETA aeleza umuhimu wa VETA

Na Joyce Kasiki,Dar es SalaamMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Anthony Kasore amepongeza juhudinza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kujenga vyuo vingi vya VETA ambapo hadi kufikia 2025 kutakuwa na idadi ya vyuo takriban 145 vitakavyokuwa katika...
Share:

TAWA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI MAONESHO YA 48 YA KIMATAIFA ALMAARUFU SABASABA 2024

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam.MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam kuhamasisha Umma wa watanzania wawekezaji na wageni  kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo ...
Share:

Fundi seremala asiyeona aishangaza jamii

Raphael Mwambalaswa fundi seremala asiyeona aliyepata mafunzo VETANa Joyce Kasiki, Dar es Salaam VYUO vya VETA vimedhihirisha umahiri wake katika kufundisha hadi watu wenye ulemavu na kuwatoa katika dimbwi la utegemezi.Watoto wengi wenye ulemavu wamekuwa wakatiwa tamaa...
Share:

VETA Songea yabuni mashine kusaga chakula cha kuku,samaki

Na Joyce Kasiki,Dar es DalaamWAFUGAJI wa kuku na samaki wamerahisishiwa namna ya kupata chakula cha kuku au samaki kwa kutumia mashine yenye gharama nafuu kutoka chuo cha VETA Songea.Mwalimu Sussac Mbulu amezungumza katika maonesho ya 48 ya Kinataiga ya Biashara yanayoendelea...
Share:

Yunus ahimiza watumishi ofisi ya Waziri Mkuu kutatua changamoto za wananchi

Picha zote ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Zuhura Yunus ametembelea Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Taasisi zake katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba yanayoenselea jijini Dar es Salaam.Na...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Blog Archive

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.