Serikali yafungia shule ya chalinze modern islamic kuwa kituo cha mitihani

Waziri wa Elimu,Sayansi na TeknlojiaSerikali yafungia shule ya chalinze modern islamic kuwa kituo cha mitihani                            Na WyEST,Dar...
Share:

Dkt.Stergomena ashiriki mkutano wa Tume ya kudumu ya Pamoja baina ya Tanzania na Msumbiji

WAZIRI wa Ulinzi Dkt.Stergomena Tax akizungumza kwenye Mkutano wa Tume ya Pamoja baina ya Tanzania na Msumbiji.    NA MWANDISHI WETU WAZIRI  wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena  Tax  ameshiriki Mkutano wa Nne wa Tume ya Kudumu...
Share:

Miongozo ya uanzishaji na uendeshaji mabaraza ya watoto uwafikie watendaji wa mitaa na vitongoji

Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt.Dorothy Gwajima akiagana na wanafunzi jijini DodomaNa WMJJWM, DodomaWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum  Dkt.Dorothy Gwajima amewaagiza Maafisa Maendeleo ya Jamii na Maafisa...
Share:

Watoto wanaoishi mazingira hatarishi watambuliwe

RAIS Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi mbalimbali katika hafla ya utiaji saini mkataba wa usimamizi wa shughuli za lishe .            NA JOYCE KASIKI,DODOMA RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Maendeleo ya Jamii ,Jinsia,Wanawake...
Share:

Kozi ya wasaidizi wa kisheria kuanza kutolewa nchini

Mkuu wa kitengo Cha sheria katika Taasisi ya Mafunzo ya uanasheria kwa Vitendo (LST) Berinda Mollel akizungumza jijini Dodoma katika ukubi wa Jakaya wakati wa Mkutao wa Chama cha Mawakili wa Serikali.          NA JOYCE KASIKI,DODOMA   ...
Share:

NIC Shirika la Bima linalotoa huduma bora na kwa haraka

 Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Bia la Taifa (NIC) Karimu Meshack akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma wakati wa Mkutano wa chama cha Mawakili Tanzania           NA JOYCE KASIKI,DODOMA MKUU wa Kitengo cha Uhusiano wa...
Share:

Kukosekana kwa huduma za MMMAM kunachangia kuwa na kundi kubwa la watoto waliokosa malezi bora

 MKURUGENZI Msaidizi ,Ofisi ya Rais TAMISEMI nayeshughulikia Serikali za Mitaa Stephan Motambi akifungua kikao kazi cha tathimini  ya utekelezaji ya Mradi wa Mtoto Kwanza ambao kwa sasa unatekelezwa katika mikoa kumi Tanzania Bara.BAADHI ya wadau wanaotekeleza mradi...
Share:

Rais Samia awaagiza Mawakili wa Serikali kushugulikia haraka na kwa haki kesi za uwekezaji

 RAIS Samia Suluhu Hassan           NA JOYCE KASIKI,DODOMA RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Mawakili wa Serikali kushughulikia kwa haraka  na haki kesi za uwekezaji kwa lengo la kukuza uchumi wa nchi huku akipiga marufuku kusainiwa...
Share:

Wadau kutoka wilaya za Dodoma wakutana kujadili utelezaji wa PJT-MMMAM

AFISA Mradi,Mradi wa Mtoto kwanza Magret Mukama akifafanua jambo katika kikao kazi cha wadau kuhusu utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ( MMMAM) kilichofanyika jijini Dodoma MATUKIO katika picha ni baadhi wadau walioshiriki katika kikao kazi hicho.     ...
Share:

Dkt.Mganga :Unywaji maziwa shuleni uanzie kwa wanafunzi wa darasa la awali kwani ndiyo wapo katika hatua za ukuaji

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Fatma Mganga akizungumza na wadau wa Maziwa nchini katika kongamano la wadau wa maziwa lililofanyika jijini DodomaBAADHI ya wadau wa MaziwaWADAU wa Maziwa wakifautilia jambo kwenye kongamano la wadau wa maziwa lililofanyikaleo  jijini...
Share:

Wanachama zaidi ya milioni 2 wajitokeza kuwania nafasi ,NEC yaongeza muda wa kuchukua fomu ngazi ya mkoa na NEC Taifa

KATIBU wa Halamshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi,Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka Wajumbe wa Halamshauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) jijini Dodoma ukumbi wa White House wakiwa katika kikao cha uteuzi wa wagombea ngazi ya wilaya         ...
Share:

Wanufaika 640 wa Samia scholarship kugharimu sh.3 bilioni

 Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknlojia Profesa Adolf Mkenda NA JOYCE KASIKI,DODOMAWAZIRI  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda amesema ufadhili wa 'SAMIA SCHOLARSHIP' una thamani ya shilingi   bilioni 3 Huku akisema katika ufadhili huo ,Serikali...
Share:

Wadau waaswa kushirikiana na Serikali katika utekelezaji wa PJT-MMMAM

 MKURUGENZI wa Mtandao wa Malezi na Makuzi ya Watoto ( TECDEN) akiwa katika hafla ya uzinduzi wa PJT-MMMAM ngazi ya mkoa (mkoa wa Dodoma)MKURUGENZI wa Shirika liliso la Kiserikali Action for Community Care (ACC) linalotekeleza mradi wa toto Kwanza Pendo Maiseli BAADHI...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.