
Waziri wa Maendeleo ya
Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt.Dorothy Gwajima akiwasilisha
maombi ya fedha Bungeni Jijini Dodoma katika bajeti ya mwaka wa fedha
wa 2022/23 ya shilingi bilioni 43.403 ili kuiwezesha Wizara hiyo
kutekeleza majukumu yake kwa kipindi hicho...