Mkongo wa Taifa unavyorahisisha mawasiliano nchi nzima

Mkurugenzi wa T-Pesa Lulu Mkudde akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  kwenye maoneaho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar Es Salaam .Na Joyce Kasiki Dar Es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano nchini (TTCL) limesema ,hadi sasa limesambaza mkongo wa Taifa...
Share:

Utafiti:Zaidi ya nusu ya eneo la Tanzania lina viashiria vya mafuta

Mkuruhenzi wa PURA Mhandisi Charles Na Joyce Kasiki ,Dar Es Salaam MKURUGENZI Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Mhandisi Charles Sangweni amesema,Tanzania ina viashiria vya kuwepo mafuta katika wneo la ukubwa wa skweakilomita 534,000.Akizungumza...
Share:

Ushirikishwaji usomaji ankara za maji unavyoondoa migogoro

MENEJA Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka ya Idhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) Titus KaguoNa Joyce Kasiki MENEJA Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka ya Idhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) Titus Kaguo amesisitiza Ankara zote za maji kusomwa wakati mwenye Dira yupo ili kuondoa...
Share:

CBE sasa kutoa 'Masters' kwa njia ya mtandao

Matukio katika picha yakionesha Mkuu wa Chuo cha CBE alipotembelea banda la chuo hicho kwenye maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba)  jijini Dar Es SalaamNa Joyce Kasiki Dar Es SalaamMKUU wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Profesa Tandi Luoga amesema chuo hicho...
Share:

PURA na mkakati wake wa kutafuta wawekezaji

Ns Joyce Kasiki Dsr Es SalaamMwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Khalfan Khalfan amesema  PURA itahakikisha inaongeza wawekezaji kwenye sekta ya utafutaji wa mafuta ili kuongeza tija katika eneo hilo.Akizungumza na waandishi...
Share:

Ubunifu uchoraji picha Rais Samia washangaza wananchi maaonesho sabasaba

Na Joyce Kasiki,DarPICHA moja  ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan iliyochorwa na mwanafunzi wa chuo Kikuu cha Dodoma inayomuelezea Dkt.Samia Suluhu Hassan akiwa  katika majukumu yake matatu makubwa ya Kitaifa imekuwa kivutio kikubwa kwa wananchi wengi wanaotembelea maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijini Dar Es Salaam.Akizungumza...
Share:

Serikali kuongeza vituo 8 vya kujaza gesi kwenye magari

Na Joyce Kasiki,Dar Es Salaam SERIKALI imesema hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu itakuwa imejenga  vituo vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)  maeneo ya Muhimbili, Kibaha, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Sinza, Mwenge, Goba, Mbezi Beach na Mbagala .Hayo yamesemwa...
Share:

KAMATI YA GEF YATINGA DODOMA YAHIMZA  KIZAZI CHENYE USAWA DIRA YA TAIFA 2050

Na WMJJWM-DodomaKamati ya Kitaifa ya Ushauri kuhusu utekelezaji wa Programu ya Kizazi chenye Usawa, imeshauri agenda ya Kizazi chenye Usawa kujumiishwa katika Dira ya Taifa ya 2050 ili utekelezaji wake uwe katika mifumo ya utendaji wa Serikali.Hayo yamebainika wakati wa ziara...
Share:

TMDA yatoa elimu usugu vimelea vya dawa

Na Joyce Kaaiki,Dar es Salaam USUGU wa vimelea  vya Dawa umekuwa ukiongezeka siku hadi siku kutokana na matumizi ya dawa yasiyo sahihi kwa baadhi ya watumiaji.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Adam Fimbo amesema hayo wakati akizungumza na waandishi...
Share:

Mhandisi Mramba aipa tano EWURA

Na Joyce Kasiki,Dar Es SalaamKATIBU Mkuu Wizara ya Nishati Felichesmi Mramba ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji kwa huduma inayofanya ya udhibiti huku akisema imesaidia kupunguza hata changamoto ya kukatikakatika kwa umeme.Mramba ameyasema hayo leo Julai 9,2024...
Share:

Mhandisi Mramba aipa tano EWURA

Na Joyce Kasiki,Dar Es Salaam KATIBU Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), kwenye maeneo ya gesi asilia ambapo amesaidia  na anaendelea kufuatilia  kutoa leseni kwa wale wanaojenga...
Share:

Kikwete ashauri kushushwa bei za gesi umeme kiwezesha matumizi Nishati mbadala

RAIS Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete  alipotembelea banda la TANESCO katika maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es SalaamNa Joyce Kasiki,Dar es Salaam RAIS Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete amesema vita dhidi ya nishati safi ya kupikia nchini itafanikiwa endapo...
Share:

Mkurugenzi Mkuu VETA aeleza umuhimu wa VETA

Na Joyce Kasiki,Dar es SalaamMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Anthony Kasore amepongeza juhudinza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kujenga vyuo vingi vya VETA ambapo hadi kufikia 2025 kutakuwa na idadi ya vyuo takriban 145 vitakavyokuwa katika...
Share:

TAWA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI MAONESHO YA 48 YA KIMATAIFA ALMAARUFU SABASABA 2024

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam.MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam kuhamasisha Umma wa watanzania wawekezaji na wageni  kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo ...
Share:

Fundi seremala asiyeona aishangaza jamii

Raphael Mwambalaswa fundi seremala asiyeona aliyepata mafunzo VETANa Joyce Kasiki, Dar es Salaam VYUO vya VETA vimedhihirisha umahiri wake katika kufundisha hadi watu wenye ulemavu na kuwatoa katika dimbwi la utegemezi.Watoto wengi wenye ulemavu wamekuwa wakatiwa tamaa...
Share:

VETA Songea yabuni mashine kusaga chakula cha kuku,samaki

Na Joyce Kasiki,Dar es DalaamWAFUGAJI wa kuku na samaki wamerahisishiwa namna ya kupata chakula cha kuku au samaki kwa kutumia mashine yenye gharama nafuu kutoka chuo cha VETA Songea.Mwalimu Sussac Mbulu amezungumza katika maonesho ya 48 ya Kinataiga ya Biashara yanayoendelea...
Share:

Yunus ahimiza watumishi ofisi ya Waziri Mkuu kutatua changamoto za wananchi

Picha zote ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Zuhura Yunus ametembelea Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Taasisi zake katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba yanayoenselea jijini Dar es Salaam.Na...
Share:

Tigo yazindua simu ya ZTE A34

        Na Joyce Kasiki,Dar Es SalaamKAMPUNI ya simu ya mkononi ya Tigo,imezindua   simu mahiri za bei nafuu zaidi ZTE A34 kwa ushirikiano na ZTE Tanzania kupitia Sako  kwa Bako na Simu janja kwa Mpango kampeni.Meneja wa Kifaa wa Tigo Imelda...
Share:

TRA yaja na mwarobaini kubaini vinywaji feki

Kaimu  Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipa kodi na Mawasiliano wa TRA Hudson Kamoga,akizungumza na waandishi wa habari .                 Na Joyce Kasiki,Dar Es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema inakwenda kuwekeza...
Share:

WANANCHI TEMBELEENI BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU, TUPO TAYARI KUWAHUDUMIA” DKT. YONAZI

NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAMKatibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu imejipanga kuhakikisha inaendelea kuwafikia wananchi wanaopata huduma katika banda jumuishi la ofisi hiyo...
Share:

Mwalimu VETA aomba utafiti kwa kifaa alichobuni kuboresha usikivu

Mwalimu Innocent Maziku mwenye usikivu hafifu akionesha kwa waandishi wa habari kifaa alichokibuni kwa ajili ya kuboresha usikivu kwa wenye usikivu hafifuNa Joyce Kasiki,Dar Es SalaamMWALIMU wa Chuo cha VETA Kigoma Innocent Maziku ameiomba Serikali kupitia watafiti wake kutoka...
Share:

UDOM yaendelea kupanua wigo utoaji elimu ya Juu

Na Joyce Kasiki,Dar Es SalaamCHUO  Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatarajia kufungua kampasi mpya katika Mkoa wa Njombe itakayoanza kutoa mafunzo mwaka wa masomo 2026/2027 kwa lengo la kupanua wigo na kusogeza huduma inayotolewa na chuo hicho kwa wananchi.Hayo yamesemwa na Naibu...
Share:

BRELA wafurahia mshindi wa wa tatu waahidi kuongeza ufanisi

Mtendaji Mkuu wa BRELA Godfrey Nyaisa (katikati) mara baada ya kukabidhiwa tuzo ya mshindi wa jumla wa tatu katika maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya yanayondelea jijini Dar Es Salaam             Na Joyce KasikiWAKALA wa Usajili wa...
Share:

FMJ hardware wapongeza juhudi za Dkt.Samia katika uwekezaji

Pichani ni bidhaa za aina mbalimbali zinazopatikana katika maduka ya FMJ HardwareNa Joyce Kasiki,Dar SalaamKAMPUNI ya vifaa vya ujenzi FMJ hardware imeipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira wezeshi kwenye sekta ya uwekezaji...
Share:

Vijana waaswa kujiunga na VETA nchini

Na Joyce KasikiVIJANA nchini wameaswa kujiunga na vyuo vya ufundi VETA vilivyopo nchini ili waweze kupata ujuzi utakaowawezesha kujiajiri au kuajiriwa na kujiunga kiuchumi.Akizungumza katika.maneosho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba  kwenye banda la VETA kitengo...
Share:

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Labels

Blog Archive

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages

Theme Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.