
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Kaptein Mstaafu George Mkuchika akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Mwogozo wa Mpango ,Bajeti na Taarfa za Ustawi wa Jamii katika Ngazi za Serikali za Mitaa jijini Dodoma Waziri wa Nchi,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi...