
Na Mwandishi WetuMamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kuendelea kubuni na kuboresha mifumo mbalimbali ya TEHAMA, ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za Serikali Mtandao kwa watu wenye mahitaji maalum.Akizungumza katika Maadhimisho ya wiki ya Viziwi...